Mpambano kati ya Yanga na Ngaya Uwanja wa Taifa Dar es salaam

PROSPER 05

JF-Expert Member
Oct 14, 2013
226
217
TV Gani inaonyesha pambano kati ya Yanga na Ngaya Uwanja wa Taifa.

  • Dakika 25 Ngaya wanapata Bao. Ngaya 1 yanga 0
  • Kuna kitu kinatolewa katika goli la Ngaya.. sijui ni uchawi au nini
  • Chirwa anakosa Goli
  • Yanga wamekuwa Wazito sana
  • Dk 32 Saidi Achimu Anapiga krosi inamtoka Dida ni hatari lakini wanaokoa Yanga
  • Ngaya Wanafika Mara kwa Mara langoni mwa Yanga
  • Dk38 Emmanuel Martini anapiga shuti la Mbali lakini linatoka nje
  • Dk43 Haji Mwinyi Anaisawazishia Yanga kwa shuti la mbali
Half Time Yanga 1 Ngaya 1
Full Time Yanga 1 Ngaya 1.
Yanga wanavuka kwenda Round ya Kwanza CAF kwa ushindi wa jumla (6-2) Kukutana na Mshindi kati ya Zanako na APR
Hongereni WanaYanga
 
Tunaomba kujua make najisikia vibaya nikiikosa hii gemu.
 
Lg. samsung.Tlc.


Ila kama unaulizia chanel nadhan azam 2 watakuwa wanarusha matangazo MUBASHARA
 
Hakuna chan inayorusha kumbe. Sasa sijuhi ni tatizo kutoka Azam make tumeambiwa watarusha ya mamelody jioni iliyo mbali ila wameichunia hii ya hapa kwetu. Changamoto za soka la bongo ni nyingi sana kwakweli
 
Sijuikwa Leo lakini Mwaka Jana Yanga Walikataa Mechi zao kuonyeshwa AzamTv
Ni kwa sababu ya jeuri ya fedha. Tunakoelekea huko Yanga wataanza kuibembeleza Azam TV irushe matangazo ili walipwe kiasi fulani
 
Back
Top Bottom