Mpaka sasa Yanga 5 mwarabu 0

Mpaka sasa Yanga 5 mwarabu 0

Tatizo ninyi Yanga mnacheza sana kwenye vyombo vya habari na timu kama haihongeki mnaweza kuumbuka sana
 
Mimi simba damu,
1.leo Yanga itashinda ushindi mwembamba.
2.kisha ikienda misri inapigwa na kutolewa.
3.yanga haitafungwa 6-0 kama ilivyofanyiwa na Raja casablanca.
huo ndio utabiri wangu.YANGA KUTOLEWA NI LAZIMA.
 
Yanga bana wana mawazo ya hovyo sana
 
Poleni yanga kiwango chenu bado sana , mechi kali bongo na yenye pressure kama ya leo huwa ni ya dhidi ya simba na mnajuaga mnapigwaga ngapi ,, endeleeni kuamini na vimechi vya ruvu sijui mgambo ambavyo unakuta wachezaji hata hawajala, na wana matatizo kibao ya posho n.k nyie mkienda mnashinda 5 mnajiona mnajua ... poleni sana
 
kuwatoa waarabu ni mbinde hasa kwa hizi timu zetu za africa mashariki.
 
Unacheza video game gani? Yanga wenyewe wanajua leo wanaenda kutafuta sare, halafu wakienda ugenini waje na majibu tulihujumiwa. Hivi kwanini timu zetu hazifanyagi hujuma???
 
Baada ya mechi mtoa mada tutaomba utujuze matokeo hata kama ni mabaya.Hatutaki visingizio!!!!
 
Unacheza video game gani? Yanga wenyewe wanajua leo wanaenda kutafuta sare, halafu wakienda ugenini waje na majibu tulihujumiwa. Hivi kwanini timu zetu hazifanyagi hujuma???

Hahahaa..
 
Hivi kwa nini kila wakati mwarabu ndo anaanza kuja bongo,kwanini hatuanzagi kwenda kwao,au kwa kua makao makuu yako kwao
 
Back
Top Bottom