kweli hii ni mambumbumbu fc,sijui hizi faraja mnazitoa wapi!....Hivi mnajua kuwa tangu ligi ianze mikia haijapata ushindi wowote hata mechi za kirafiki??
kweli hii ni mambumbumbu fc,sijui hizi faraja mnazitoa wapi!....Hivi mnajua kuwa tangu ligi ianze mikia haijapata ushindi wowote hata mechi za kirafiki??
Kama Umeweza Kutabiri Matokeo Hayo Je Umetabiri Na KIFO CHAKO PIA NI LINI? Wabongo Bana Ni FULL UPOPOMA. Mimi Simba Mwenzako LAKINI HAPA NILIPO YANAGONGA PICHU NA YANARUDI KWA MCHECHETO. Nami NATABIRI WATU WENGI SANA LEO K.U.N.Y.A Uwanjani!