Mtanange bado unaendelea katika mitandao ya kijamii pamoja na kwamba tunatiki oktoba wamepewa bando la bure kuhakikisha wanashindana na wananchi wanaotumia bando lao wenyewe wa No reforms No Elections ubao unasoma tunatiki wamekufa kwa bao 10 kwa 0
Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha wanapost lakini hali bado ni mbaya kwa upande wa tunatiki
Taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia
Data ziko wapi?Mtanange bado unaendelea katika mitandao ya kijamii pamoja na kwamba tunatiki oktoba wamepewa bando la bure kuhakikisha wanashindana na wananchi wanaotumia bando lao wenyewe wa No reforms No Elections ubao unasoma tunatiki wamekufa kwa bao 10 kwa 0
Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha wanapost lakini hali bado ni mbaya kwa upande wa tunatiki
Taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia
Singeli ya kibabe
Hao wa kuposti wenyewe wamejificha......Unadhani wao hawaogopi?Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha wanapost lakini hali bado ni mbaya kwa upande wa tunatiki
Cha msingi wanapost na ndo wanaongozaHao wa kuposti wenyewe wamejificha......Unadhani wao hawaogopi?
Kawaulize wazee wa kutiki oktoba walioingiza hadi mawaziriData ziko wapi?
Usishau tuna tiki kuna bajeti kabisa lakini No reform No Election ni nguvu ya Umma tunaweza kusema huwezi kushindana na nguvu ya UmmaMtanange bado unaendelea katika mitandao ya kijamii pamoja na kwamba tunatiki oktoba wamepewa bando la bure kuhakikisha wanashindana na wananchi wanaotumia bando lao wenyewe wa No reforms No Elections ubao unasoma tunatiki wamekufa kwa bao 10 kwa 0
Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha wanapost lakini hali bado ni mbaya kwa upande wa tunatiki
Taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia
Mmoja ni nikamuuliza mnatiki nini , akasema wagombea wetu, nikauli hawahawa au wapo wengine , katoka nduki hajanijibuMtanange bado unaendelea katika mitandao ya kijamii pamoja na kwamba tunatiki oktoba wamepewa bando la bure kuhakikisha wanashindana na wananchi wanaotumia bando lao wenyewe wa No reforms No Elections ubao unasoma tunatiki wamekufa kwa bao 10 kwa 0
Pamoja na serikali nzima kuamia kuhakikisha wanapost lakini hali bado ni mbaya kwa upande wa tunatiki
Taarifa zaidi zitaendelea kuwafikia
HahahaKawaulize wazee wa kutiki oktoba walioingiza hadi mawaziri
Imagine halafu mtu anakuja kutaka tutoe takwimu wakati tunatiki wana bando la pesa ya mlipa kodi Bush DoktaUsishau tuna tiki kuna bajeti kabisa lakini No reform No Election ni nguvu ya Umma tunaweza kusema huwezi kushindana na nguvu ya Umma