Mpaka mwenye chain saw analipia motor veincle

steve_shemej

JF-Expert Member
Nov 26, 2015
1,092
1,433
Tanzania nchi ya ajabu saana

wamesema wanafuta kodi ya motor veicle wataripia watakapo.nunua mafuta kwa kupandishiwa sh 44 inamaana mimi nisie na gari ila nna chain saw nalipia motor veicle kwa gari gani..? huu ni ujeur na kutuzarau atakama ushindi wenu ulitokana na rozari ila si kwa kutuzarau huku inamaana hata babu mwenye jeneleta nae analipia motor veicle kma kujitegemea ndy huku mmeishiwa plan
 
Tanzania nchi ya ajabu saana

wamesema wanafuta kodi ya motor veicle wataripia watakapo.nunua mafuta kwa kupandishiwa sh 44 inamaana mimi nisie na gari ila nna chain saw nalipia motor veicle kwa gari gani..? huu ni ujeur na kutuzarau atakama ushindi wenu ulitokana na rozari ila si kwa kutuzarau huku inamaana hata babu mwenye jeneleta nae analipia motor veicle kma kujitegemea ndy huku mmeishiwa plan
Hata cc mafundi uashi lazma kulipia mkuu na hiv vimashine vyetu vya zegee a. k. a kombe
 
Tanzania nchi ya ajabu saana

wamesema wanafuta kodi ya motor veicle wataripia watakapo.nunua mafuta kwa kupandishiwa sh 44 inamaana mimi nisie na gari ila nna chain saw nalipia motor veicle kwa gari gani..? huu ni ujeur na kutuzarau atakama ushindi wenu ulitokana na rozari ila si kwa kutuzarau huku inamaana hata babu mwenye jeneleta nae analipia motor veicle kma kujitegemea ndy huku mmeishiwa plan
Acha kuonyesha ujinga wako!
Hiyo chain saw na Generator vilitembea kwa miguu yake toka dukani?
Halafu tuliza akili na aandika vizuri , "veincle" ndo nini!
 
Na mimi fundi viatu ambaye gundi nachanganya na petrol nalipa motor vehicle?
 
Tanzania nchi ya ajabu saana

wamesema wanafuta kodi ya motor veicle wataripia watakapo.nunua mafuta kwa kupandishiwa sh 44 inamaana mimi nisie na gari ila nna chain saw nalipia motor veicle kwa gari gani..? huu ni ujeur na kutuzarau atakama ushindi wenu ulitokana na rozari ila si kwa kutuzarau huku inamaana hata babu mwenye jeneleta nae analipia motor veicle kma kujitegemea ndy huku mmeishiwa plan
 
Tanzania nchi ya ajabu saana

wamesema wanafuta kodi ya motor veicle wataripia watakapo.nunua mafuta kwa kupandishiwa sh 44 inamaana mimi nisie na gari ila nna chain saw nalipia motor veicle kwa gari gani..? huu ni ujeur na kutuzarau atakama ushindi wenu ulitokana na rozari ila si kwa kutuzarau huku inamaana hata babu mwenye jeneleta nae analipia motor veicle kma kujitegemea ndy huku mmeishiwa plan
Ukishatuharibia mazingira kwa kukata magogo yako huwa unayapitishia wapi?
 
Back
Top Bottom