Mozambique ex-rebels end peace deal after attack
Maputo (AFP) - Mozambique's former rebel group Renamo declared the end of a 1992 peace deal that ended a 16-year civil war after government forces attacked and seized its base on Monday.
Renamo, which fought the Frelimo-led government for 16 years until 1992, said it was pulling out of the peace deal in response to the strike.
"The taking of president Dhlakama's base by the special forces marks the end of multiparty democracy," Renamo's Mazanga said.
Stupid Renamo. Without the backing like that of the South African apartheid government they used to enjoy during those dark days, how far do they think they will get? Let them bring it on and face the might of the SADC forces.
Probably you are stupid as well.
Likely you are a stupid Renamo sympathizer
I'm not. My point is that it is a bad idea to be biased in other countries affairs. Remembering how some folks supported the western power to oust gadafi, thereafter as we hear, it turn out that neither the revolutionalist nor the western are enjoying safe heaven in libya, they even killed one of the most guarded diplomat in the world.
Here we go again
Sina shaka mkuu wa RENAMO aliondoka Maputo na kuhamia kwenye area yenye uwezekano wa kuvumbuliwa gesi baada ya kupata tetesi za kuwepo gesi, kwa mawazo yake anafikiri akikalia eneo hilo litamuwezesha kuishinikiza Serikali ya Msumbiji kukaa chini na kudi lake ili wapewe madaraka zaidi Serikalini ili baadae aweze kupata mwanya wa kuitawala Msumbiji. Dharakama ni mroho wa madaraka sana, Serikali ya Msumbiji inapashwa kushumshugulikia kama Serikali ya Angola alivyo mshughulikia Jonas Savimbi, bila ya kufanya hivyo fasta jamaa huyu anaweza kuleta madhala makubwa Msumbiji, vile vile vyombo vya usalama nchini Msumbiji vinapashwa kujichunguza kwani inashangaza kuona Dharakama aliweza kufanikisha kunusurika kwenye suprise attack ya kambi yake, swali ni: Nani alimpa taarifa mapema kabla ya operation kutekelezwa na majeshi ya Msumbiji.Hiyo itauwa gas tu. Asimilia 100 iko kwenye RENAMO controlled area! Karibu na Ntwara. Tuone drama sasa
Sina shaka mkuu wa RENAMO aliondoka Maputo na kuhamia kwenye area yenye uwezekano wa kuvumbuliwa gesi baada ya kupata tetesi za kuwepo gesi, kwa mawazo yake anafikiri akikalia eneo hilo litamuwezesha kuishinikiza Serikali ya Msumbiji kukaa chini na kudi lake ili wapewe madaraka zaidi Serikalini ili baadae aweze kupata mwanya wa kuitawala Msumbiji. Dharakama ni mroho wa madaraka sana, Serikali ya Msumbiji inapashwa kushumshugulikia kama Serikali ya Angola alivyo mshughulikia Jonas Savimbi, bila ya kufanya hivyo fasta jamaa huyu anaweza kuleta madhala makubwa Msumbiji, vile vile vyombo vya usalama nchini Msumbiji vinapashwa kujichunguza kwani inashangaza kuona Dharakama aliweza kufanikisha kunusurika kwenye suprise attack ya kambi yake, swali ni: Nani alimpa taarifa mapema kabla ya operation kutekelezwa na majeshi ya Msumbiji.
Mkuu your last comment counts a lot, kusema kweli Watanzania tunapashwa kumshukuru Mungu kwa kutujalia UMOJA - mkuu mimi nilesama maksudi ili Serikali ya Mozambique ikae ikijua kwamba kuna ma afisa wasaliti ndani ya jeshi lao wanao hunga mkono RENAMO, cha kufanya sasa hivi ni ku-deal na mtu huyu hatari SUMMARILY na wala siwezi kushangaa kama hakuna baadhi ya ma RAIS vichwa maji wanao mpa ushauri Dhalakhama (sijui kama nimepatia jina) avuruge Msumbiji ili wa tie up nchi za SADCC zipoteze muda wao kijeshi wakimshughulikia, binafsi naona safari hii hatachukua round kutokana na kukosa resources za kuendesha vita kwa muda mrefu.Kulingana na information za ki-intelligensia, huyo bwana ni mmoja wa watu hatari sana Duniani. Askali wa Tanzania waliokuwa kule Msumbuji wanaeleze jinsi walivyokuwa wakiuwawa kila kukicha. Ikafikia sehemu ilibidi sasa wache kuwasiliana na wanajeshi wa Mozambique waende kivyao vyao. Hapo ndipo mafanikio yalipoanza kuonekana dhahiri. Lakini kwa Dunia ya sasa, anachemka sana. Hawezi kwa namna yoyote ile ku-practice yale ya miaka ya sabini na themanini. Hawezi kabisa kabisa. Isitoshe Mozambique kwa sasa ni kioo cha kimataifa kuhusu maendeleo na kupunguza umaskini. Watamshughulikia squrely vwery soon. Wasi wasi wangu ni kuwa ataacha makovu, yaani watu watakaoendeleza ujinga wake kwa miaka mingi ijayo. Kule Mtwara kungekuwa na public figure yenye mvuto kwa wananchi, nina hakika zile vurugu zingeishia kama hivi. Lakini Bongo yetu tambarare kabisa kabisa. KIla mtu ni ndugu wa mwenzake
Let's remember that the return of RENAMO may have some dominal effects across east and central Africa, meaning even the Mtwara residents may draw some inspiration from their neighbours across the border. Remember, RENAMO isn't all that bad! They have the right to express and voice their rights, and if nobody listen to their demands or rights to the point where they feel like being marginalized, then the last resort that can make the incumbent pay attention and listen to RENAMO would be war!Hiyo itauwa gas tu. Asimilia 100 iko kwenye RENAMO controlled area! Karibu na Ntwara. Tuone drama sasa
Mozambique ex-rebels want slice of resource cake: analysts
.Maputo (AFP) - Mozambique's ex-rebellion is too weak to force a new civil war and it recent return to arms is a desperate bid to grab a share of the energy bonanza reshaping the country, analysts said.