Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,230
"hii inawezekanaje? tunalipa kodi ya serikali kila kitu unachokwenda kununua unalipa asilimia 18% hatuna sababu wanawake kulipia magharama ya kujifungua hospitali" amesema Moza.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza leo Septemba 20, 2025 kwenye mkutano wake wa kampeni uliofanyika jimboni la Kinondoni Moza amesema moja ya maeneo atakayosimamia ni kuhakikisha wajawazito wanapokwenda kujifungua hawalipi gharama yoyote.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza leo Septemba 20, 2025 kwenye mkutano wake wa kampeni uliofanyika jimboni la Kinondoni Moza amesema moja ya maeneo atakayosimamia ni kuhakikisha wajawazito wanapokwenda kujifungua hawalipi gharama yoyote.