Habari Jf doctor...Naombeni Masada katika hili.Nina mama mkwe wangu analalamika sana kupata maumivu ya moyo yani moyo unamuuma. Naomba kujua sababu na namna ya kulikabili tatizo hili.
Habari Jf doctor...Naombeni Masada katika hili.Nina mama mkwe wangu analalamika sana kupata maumivu ya moyo yani moyo unamuuma. Naomba kujua sababu na namna ya kulikabili tatizo hili.