changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 5,580
- 9,166
Nimejiridhisha pasi na shaka kwamba Mourinho mbinu zakee na mfumo wake umeshapitwa na wakati na kote anakotimuliwa huwa hawamuonei isipokuwa ni kweli hana uwezo wa kufundisha na kuongoza timu.
Kuanzia ajiunge na timu ya Roma, ameshinda mechi tano tu za ligi na kupoteza mechi tatu katika mechi nane.
Kwenye Europa league kashinda mechi mbili tu na jana kapokea kipigo cha mbwa mwizi cha magoli sita kutoka timu ya bodoe/ Glimt kutoka Norway.
Ni wakati sasa wa Mourinho kustafu ukocha maana hana uwezo wowote wa kufundisha timu
Kuanzia ajiunge na timu ya Roma, ameshinda mechi tano tu za ligi na kupoteza mechi tatu katika mechi nane.
Kwenye Europa league kashinda mechi mbili tu na jana kapokea kipigo cha mbwa mwizi cha magoli sita kutoka timu ya bodoe/ Glimt kutoka Norway.
Ni wakati sasa wa Mourinho kustafu ukocha maana hana uwezo wowote wa kufundisha timu