Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,024
Hehehe tangu mlipoanza kuwazingua kwenye makinikia, inabidi mchunguzwe maana mnamea pembe na muda usio mrefu mtaongezewa mkia.
Hehehe, mpaka mkia!
Wawe makini tu na uchunguzi wao, mwenye nchi wa sasa akijua atawatimua kwa fimbo.
Huyu sio yule smiling face.