Introvert22
Member
- Jan 7, 2022
- 7
- 14
Yaani imekuwa Ni zaidi ya kero! Tena siku hizi wanauza vitabu kwa soft copy.
Mara utasikia njoo kwenye mafunzo kwa njia ya WhatsApp kwa mwezi elfu kumi.
Mara ooh wengine Ni watengeneza rogo za biashara utasikia elfu 20.
Yani siku hizi ukiona motivation speaker anatuma ujumbe Fulani ujue mwisho Kuna Biashara... Yani wamekuwa wauza vitabu kwa ujanja ujanja.
Vitabu vyenyewe wanakopy na kupast hakuna original message.
Waige wenzetu... Wao wananza kufanya motivation baada ya kufanikiwa. Sio wewe unanifunza kuhusu fedha halafu unauza kitabu 2500 aibu.
Mara utasikia njoo kwenye mafunzo kwa njia ya WhatsApp kwa mwezi elfu kumi.
Mara ooh wengine Ni watengeneza rogo za biashara utasikia elfu 20.
Yani siku hizi ukiona motivation speaker anatuma ujumbe Fulani ujue mwisho Kuna Biashara... Yani wamekuwa wauza vitabu kwa ujanja ujanja.
Vitabu vyenyewe wanakopy na kupast hakuna original message.
Waige wenzetu... Wao wananza kufanya motivation baada ya kufanikiwa. Sio wewe unanifunza kuhusu fedha halafu unauza kitabu 2500 aibu.

Ah kitabu Natakiwa kuuliza Mimi, sio wao ohh kwa elfu 2500 pata soft copy

