Kwa sasa i would say bado hatujawa na hata station moja... tumekua very orthodox.. muda wavipindi kwa mfano vya watoto, vichekesho, habari, elimu nk. vyote ni trend ileile, studio ziko hivyohivyo na watangazaji wako kihivyohivyo na kuigana
hata tamthiliya, na movie ni zilezile,
sijui clouds watakuja na nini