nimerudi tena na uzi ule ule kama kawaida ndani ya biashara ya samaki mzigo unaingia daily usisubiri mpaka madaktari wakushtue wala usingoje ndugu waje wakununulie ukiwa kitandani ninaleta samaki wote wa baharini fresh fish wako poa
king fish kilo-10,000 usijali utafikishiwa ulipo wahi sasa :wave: