lonyorengai
Member
- May 12, 2008
- 71
- 35
UKAWA hawatapata kitu mikoa miwill tajwa hapo juu. Ndio ngome za mwisho za CCM
R.I.P SHEIKH YAHYA HUSEIN.....mhm
Usijidanganye Mkuu, ukweli usiopingika ni kuwa Taifa zima la Tanzania hivi sasa tayari linaelekea kupata ukombozi kamili toka kwa magamba ifikapo Oktoba 25.UKAWA hawatapata kitu mikoa miwill tajwa hapo juu. Ndio ngome za mwisho za CCM
Usijidanganye Mkuu, ukweli usiopingika ni kuwa Taifa zima la Tanzania hivi sasa tayari linaelekea kupata ukombozi kamili toka kwa magamba ifikapo Oktoba 25.
Kama imekombolewa kwa kishindo kikuu ngome yao kuu yaTanga hadi kusababisha watu kadhaa kuzimia mkutanoni, then it is more easier kuzikomboa Moro na Dodoma kutoka kwenye himaya ya Sisiem.
Acheni siasa za maji taka huu ni uchaguzi usione watu wengi kwenye mikutano ukaisi mtashinda mfano tanga ni vigeugeu utaona magufuli atakavya shinda tanga hamta amini vimacho vyenu ccm wana makundi ya watu kila sehemu ya nchi
R.I.P SHEIKH YAHYA HUSEIN.....mhm
Kajaje hapo