‘Morning Glory’ kwa wanandoa

Aisee hii nchi tunakokwenda sijui, yani nahisi watu wanaweza na kuupa kipaumbele upuuzi, ndonga zinaonekana zinawaza kunjunjana tu,
 
Ndo mida yetu hii tupate Morning glory..

Nooo,,huyu sio mke wa ndoa..
 
Basi nitakuwa na bahati sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah poleni sana wanawake wa Dar.
Kumbe ndiyo maana wengi mmejaa stress tu na hasira zenu mmehamishia kwenye kuwapiga Vizinga tu.
Dar es salaam wengi wanapiga dakika 3 mpaka 7 anakojoa, chips, juisi ya miwa, maindi yalopakwa pilipili, ice cream , hivyo si vyakula ni makapi ndio maana hawawezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo mambo unayoongea hayako kwenye ndoa,kwenye ndoa ni majukumu na kutoleana nyege baasi habari hizo nyiingi peleka huko kwa michepuko au kwa wasichana na wavulana ambao wana mihemko
 
Hongera sana mkuu, wafundishe watoto wanaovamia mmahusiano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…