More Polls Show Massive Trump Surge

This one is over NN. There is no possibility of 90% of white people to vote for one candidate. 40 years ago that possibility of 90% of white people to vote for one candidate was there, but not in 2016.

 
Acha inferiority complex yako wewe kutafuta tatizo pale ambapo hakuna tatizo lolote.

Kumbe KISWAHILI mnajua..!!?
Sisi watu WEUSI tuna MATATIZO sana..!!!
Samahani Lakini..!
 
Acha inferiority complex yako wewe kutafuta tatizo pale anbapo hakuna tatizo lolote.

a
Sawa...
Lakini MIMI nilijua HAUJUI Kiswahili mkuu..!
Kumbe ni HARAKATI za kuendelea KUKUZA lugha ya MTU mweupe Kusini mwa Jangwa la Sahara..!!!
 

Agreed - lakini Mkuu kumbuka kwamba the Mighty D ni mjanja sana hatari ya kokosa kura kutoka kwa minority alisha inusa, hivi sasa umekwisha panga watu wa kuwashurutisha hao minority going door to door if need be - hata hii ya kukimbilia kwenda Mexico na kukutana na Rais wa huko ni part ya strategies/ploy zake za kutaka ku-reconcile na walatino kiujanja, hakwenda huko 4 photo opportunity - na watafiti wanasema hata wale ambao hawaja decide wampigie nani eventually watampigia Bulldoser D.
 
Reactions: kui
I preferred for Trump to be the next president of us I don't think if the American people wako tayari kumchagua mwanamke hawa watu bado siwaamini kama wanaweza Fanya hivyo!!
kwanini huamini hawawezi kuchagua mwanamke...?
 
This one is over NN. There is no possibility of 90% of white people to vote for one candidate. 40 years ago that possibility of 90% of white people to vote for one candidate was there, but not in 2016.
Hahaaa ok my friend.

Seems like you're not getting what I'm saying.

All good, though.
 
Reactions: BAK
I hate hilary, I hate Trump with passion, i pray Trump not to win.
 
Haya bana let's us wait for the debates, the first debate will be on September 26.

Hahaaa ok my friend.

Seems like you're not getting what I'm saying.

All good, though.
 
Haya bana let's us wait for the debates, the first debate will be on September 26.

Naam, can't wait for those to begin.

By the way, although I think Hillary will win, but look at this CNN's new poll.

Washington (CNN)Donald Trump and Hillary Clinton start the race to November 8 on essentially even ground, with Trump edging Clinton by a scant two points among likely voters, and the contest sparking sharp divisions along demographic lines in a new CNN/ORC Poll.

Trump tops Clinton 45% to 43% in the new survey, with Libertarian Gary Johnson standing at 7% among likely voters in this poll and the Green Party's Jill Stein at just 2%.

Source
 
Nimeiona hii ngoja tusubiri opinion polls za ABC na NBC tuone nazo zitatupa picha ipi. Hizi OP nazo zinaanza kupoteza maana. Nakumbuka uchaguzi wa UK zilionyesha kwamba uchaguzi ulikuwa too close to call na Cameron akashinda kwa majority.

New research suggests why general election polls were so inaccurate

The 2015 UK Elections: Why 100% of the Polls Were Wrong

 

Ni kweli maana hata exit polls za 2004 zilionyesha John Kerry kambwaga George W. kumbe wapi.

Polls are just a snapshot in time.

And the only poll that matters is the one on Nov. 8.
 
Reactions: BAK
Yes you're 110% right.

Ni kweli maana hata exit polls za 2004 zilionyesha John Kerry kambwaga George W. kumbe wapi.

Polls are just a snapshot in time.

And the only polls that matters is the one on Nov. 8.
 


Ni kweli he went to Mexico for that sole purpose lakini akaja kuharibu with that angry speech he gave, about his immigration plans. Na baada ya hapo ndio some of his Latino supporters started to walk away from him.
 
Reactions: BAK
Wewe hillary na hicho kiburi chake cha email kitawafanya independent voter kuruka kwa trump .Sasa hivi trump 49 percent hillary 22 percent .60 percent white.white supremacy is really .Angela merkel is defeated today
 
Hizo Toss up, Dems wakicheza vizuri wanaweza chukua FL and OH, ingawa the battle is fierce Hillary had a slight lead.

GA is a toss up? I think Romney had a whopping (8 or 9) points lead in the last election. GOP wanalo mwaka huu.
Clinton hawez kuchukua GA na FL ata shindwa hata kwa kura moja. Labda atatoa upinzani tuu
 
There is a possibility for Hillary to win both OH and FL, but they need to be very active asap and to use Latino celebrities namely Eva longoria, jennifer Lopez etc to campaign on Hillary's behalf in order to attract more Latino votes in FL also to use black celebrities to do the same in other States including GA. POTUS, FLOTUS, Chelsea and other prominent democrats will be very active on Hillary' behalf all over the country.

Hizo Toss up, Dems wakicheza vizuri wanaweza chukua FL and OH, ingawa the battle is fierce Hillary had a slight lead.

GA is a toss up? I think Romney had a whopping (8 or 9) points lead in the last election. GOP wanalo mwaka huu.
 
Reactions: kui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…