Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
inaniuma sana kusikia haya,mbaya zaidi tunaachiwa mashimo na kansa ya ngozi kwa ndugu zetu wa mara.Ipo siku tutalipuka wakwapuaji na wezi wa uchumi wetu watakosa pakukimbilia.Tena ndio hao hao wanajifanya kutupa misaada mingi kumbe wanajua dhambi wanazotenda juu yetu.