Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Je kipi kina uzito kati ya maadili na sheria katika kufanya maamuzi.
Mfano
Fundi bomba kaenda kutengeza kitu kwenye nyumba ya bibi kizee. kufika anamwambia bibi kize kifaa kidogo tu kilichoharibika ukarabati wake utagahrimu Milioni 1. Bibi kizeee anamwabia haya tengeneza. Fundi anatengeneza.
Baada ya kutengenza bibi anakwenda benki na fundi kuchukua hela. kufika benki anandika kuwa anataka kutoa milioni moja. mafanyakazi wa benki anamuuliza za nini sababu si kawaida yake? Bibi anamjibu fundi bomba amekuja kurekebisha tatizo.
Mfanyakazi wa benki anapiga simu polisi. kuripoti kuwa kuna tapeli anamuibia bibi kizee .
assume wewe ni mwanasheria una maoni gani
Mfano
Fundi bomba kaenda kutengeza kitu kwenye nyumba ya bibi kizee. kufika anamwambia bibi kize kifaa kidogo tu kilichoharibika ukarabati wake utagahrimu Milioni 1. Bibi kizeee anamwabia haya tengeneza. Fundi anatengeneza.
Baada ya kutengenza bibi anakwenda benki na fundi kuchukua hela. kufika benki anandika kuwa anataka kutoa milioni moja. mafanyakazi wa benki anamuuliza za nini sababu si kawaida yake? Bibi anamjibu fundi bomba amekuja kurekebisha tatizo.
Mfanyakazi wa benki anapiga simu polisi. kuripoti kuwa kuna tapeli anamuibia bibi kizee .
- Kisheria/ leggaly fundi bomba ana haki ya kulipwa sababu alipatana na bibi na bibi anakiri kabisa
- Kimaadili/ ethcally alichofanya fundi bomba ni kama wizi.
assume wewe ni mwanasheria una maoni gani