Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

tuache ushabiki maghufuli sio muadilifu kamwe. aliwahi kulazimisha barabara kuu ipite jimboni kwake kinyume na ramani ya barabara....

na hiyo nyumba yaweza kuwa aliinunua mwenyewe akazuga kwa kumtumia ndugu yake
 
Unaweza kumtetea kuwa kuuza nyumba si inshu,vipi hoja ya kumuuzia nyumba girl friend na mzazi mwenzie Sundi Malomo (Mama Jeremiah) nyumba pale Ubungo wakati huo akiwa si mfanyakazi wa Serikali bali Mwanafunzie wa UDSM (Mabibo Hostel),Pia kumuuzia mdogo wake Musa kwa sababu hizohizo kwani ushahidi wa swala hili ni dhahiri kuliko wa Lowassa na Richmond?
 
Unalipwa kiasi gani na lowasa umekurupuka huko kuja kupost pumba inamaana watu wote waliouziwa nyumba ni wadogo zake Mh rais magufuli au?

Za kuambiwa changanya na za kwako
wewe ndio useme unalipwa kiasi gani. Ni kweli aliuziwa na fedha alitoa magufuli waziri. Unajua vigezo vya kuuza hizo nyumba wewe au umekurupushwa. Yule dogo hakupaswa kuuziwa ile nyumba hakuwa na vigezo.
 
Ila hiyo Nyumba Sundi alishairudisha long time,hana nyumba tena pale ubungo.
 
Badala Ya Kuhangaika Kutibu Tatizo SUGU La Kutoa Haja Kubwa Ya Mgombea Urais Wenu ILI Akienda IKULU Ya Kijijini Kwao MONDULI Asiwajazie INZI Wewe Unahangaika Na Rais Ajaye Na Mwenye IKULU Yake Ya Magogoni Dr. John Pombe Joseph Magufuli.

Samahani mkuu,ulisema Nabii Flora wa Mbezi Beach ni mama yako wa kiroho vile?nauliza tu!
 

Mkuu si weweuliyesema kuwa Nabii Flora wa Mbezi Beach ni mama yako wa kiroho na kutukaribisha tukasali kule?
 
Unalipwa kiasi gani na lowasa umekurupuka huko kuja kupost pumba inamaana watu wote waliouziwa nyumba ni wadogo zake Mh rais magufuli au?

Za kuambiwa changanya na za kwako
Achanganye na Akili zake kivipi? Hili la magufuli kujiuzia Nyumba za Serikali kienyeji tena bila utaratibu si siri wala halihitaji mtu kulipawa na Lowasa au akili za kuambiwa na mtu, hii Tuhuma ni ya Ukweli kabsa inawezekana wewe ndiye umelipwa na magufuli ili uje kukanusha Lakini ulipaswa uchanganye Akili za kuambiwa ukanushe na zako.
 

We umehongwa viloba lofa wewe! Magufuli ni msafi hana kashifa yoyote kwa muda alotumikia serikali yetu. sasa nenda kwa lowasa jizi fisadi la kutupwa hatufai watanzania
 
MAGUFULI ni Fisadi dagaa tu, Fisadi papa liko UKAWA dunia nzima inajua hilo
 
wewe ndio useme unalipwa kiasi gani. Ni kweli aliuziwa na fedha alitoa magufuli waziri. Unajua vigezo vya kuuza hizo nyumba wewe au umekurupushwa. Yule dogo hakupaswa kuuziwa ile nyumba hakuwa na vigezo.

Yapo mengi kafanya magufuli kumbuka pia nyumba ingine alimnunulia Mchepuko kisha akatengeneza mazingira ya kuwa na yeye mchepuko ni mtumishi wa umma hivyo kauziwa nyumba Kama haki yake, magufuli si mwadilifu amejaa mapungufu lukuki
 
Kwahiyo lowassa nae ni mdogo wake magufuli? Hii pumba hapa kazi tu.

Lowasa alikuwa mfanyakazi wa Serikali wakati mdogo wake na Magufuli Mussa na girl friend wake Sundi Malomo (Mama Jeremiah) walikuwa wanafunzi wa chuo na ushahidi upo kuwa wakati zoezi linafanyika walikuwa madenti wa chuo
 
Mwenye picha ya Sudi Malomo aiweke hapa ili tumfahamu huyu second lady wa 2025.
Ilumbu lyako huyo,mpole kweli hana makuu dada wa watu na hiyo nyumba aliirudisha mwaka huo huo baada ya hii habari kutoka.
 

#hapagiza tu
 
sasa kama una ushahidi,unasubiri nini kuupeleka mahakamani badala ya kupoteza muda humu jf?

Khaa!! Tajiri alikwisha sema kama una ushahidi nenda mahakamani. Kama huna SHUT UP AND KEEP KWAYAT!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…