MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,255
- 8,027
Tunaomba wenyeji wa majimbo haya mawili watuambie ukifananisha majimbo haya mawili ni jimbo gani liko katika hali nzuri zaidi kimaendeleo?
Shida za wananchi ni nani anayezijua zaidi jimboni kwake? Vipi kwa muonekano wa hali za wananchi kiuchumi kwa ujumla wake pia?
Hebu tuangalie Elimu, afya, Umeme, maji, chakula, barabara nk.
Nimeuliza hili Swali kwa nia njema tu kwa sababu hawa waheshimiwa wagombea Urais wote wawili wamekua wabunge na Mawaziri muda mrefu!Je ni nani kati yao aliyezijua shida za wananchi mapema na akawasaidia kiukweli hasa?
Kama mtu amezifahamu shida za wananchi wa jimboni kwake mapema na akawaweka vizuri kimaendeleo basi huyu ndiye atakayewavusha watanzania wote na ndiye anazijua shida za wananchi wote.
Shida za wananchi ni nani anayezijua zaidi jimboni kwake? Vipi kwa muonekano wa hali za wananchi kiuchumi kwa ujumla wake pia?
Hebu tuangalie Elimu, afya, Umeme, maji, chakula, barabara nk.
Nimeuliza hili Swali kwa nia njema tu kwa sababu hawa waheshimiwa wagombea Urais wote wawili wamekua wabunge na Mawaziri muda mrefu!Je ni nani kati yao aliyezijua shida za wananchi mapema na akawasaidia kiukweli hasa?
Kama mtu amezifahamu shida za wananchi wa jimboni kwake mapema na akawaweka vizuri kimaendeleo basi huyu ndiye atakayewavusha watanzania wote na ndiye anazijua shida za wananchi wote.