Wanainchi wa Monduli kwa style tofauti wamesema wao bado wanatambua chama mama,chama cha Mwalimu Nyerere na wapo tayari muda wowote kumuunga mkono mgombea yeyote anayetokana na chama cha mwalimu.
Wanainchi wa Monduli kwa style tofauti wamesema wao bado wanatambua chama mama,chama cha Mwalimu Nyerere na wapo tayari muda wowote kumuunga mkono mgombea yeyote anayetokana na chama cha mwalimu.
Wanainchi wa Monduli kwa style tofauti wamesema wao bado wanatambua chama mama,chama cha Mwalimu Nyerere na wapo tayari muda wowote kumuunga mkono mgombea yeyote anayetokana na chama cha mwalimu.
Chana cha umaskini na ufukara kwa watanzania. Chama ambacho kimeuza nchi aliyoikomboa kwa gharama Kubwa Mwl nnyerere? Sio hii CCM ya leo hii ya leo ni CCM ya wauaji walaji na mafisadi
chana cha umaskini na ufukara kwa watanzania. Chama ambacho kimeuza nchi aliyoikomboa kwa gharama kubwa mwl nnyerere? Sio hii ccm ya leo hii ya leo ni ccm ya wauaji walaji na mafisadi
Yapi hayo? Unaongelea waliokwenda kumzomea Magufuli ila wakajikuta wanamalizia kwakumshangilia? Kaa mbali na kichwa cha Magufuli, yeye ni zaidi ya vichwa vya viongozi wenu kumi wa Ukawa akiwemo na Lowasa na Mbowe. He knows knows how to turn a challenge into an opportunity.
Unanifurahisha ,ukiwa upinzani hujitambui???Nasikia gas imepewa WACHINA BURE kwa miaka saba..............quote ya Mgombea urais ticket ya CCM ni kweli???
Mimi najua Magufuri amecherewa kuutembelea mkoa wa Arusha kwa sababu zinahitajika fedha nyingi za kuwatoa wahudhuriaji mikoa jirani ya Shinyanga, Mara, Simiyu n.k.
unajifariji sana kamnda lakini ukweli nakwambia mtauona siku ya terehe 25/10/2015 mune kinachotokea, ila tu nawaonea huruma sana maana wengine washasema kwamba watahama nchi, mie ninawambia kwamba Lowassa ndiye rais na mnaojifanya wehu subiri mtaona
Wanainchi wa Monduli kwa style tofauti wamesema wao bado wanatambua chama mama,chama cha Mwalimu Nyerere na wapo tayari muda wowote kumuunga mkono mgombea yeyote anayetokana na chama cha mwalimu.