Waasia wengi hawana woga na mchezo huu harafu c wakufikiria mke wangu nikifa nitamwacha na nani harafu gari mpaka tustaafu kazi ndio tununue carina ya kutembelea sasa tutauweza wapi huu mchezo ukiangalia picha hyo ya pili ktk kioo kimeandikwa DELINA huyo ni devid mosha na ni tajiri wa kichaga