Zimbabwe kuna madini .. ni mzalendo ..hatafakari kama kuku kwa kuona karibu tu bali anatafakari kama eagle kwa kuona mbalii zaidii.. kama haujaelewaa basi na wewe unatafakari kama ya kukuSwali langu kwanini anaitisha uchaguzi wakati anajua matokeo?
Kwan huu mfumo wa vyama vingi na chaguzi kila baada ya miaka kadhaa wameutoa wapi? Awe kama North Korea!Zimbabwe kuna madini .. ni mzalendo ..hatafakari kama kuku kwa kuona karibu tu bali anatafakari kama eagle kwa kuona mbalii zaidii.. kama haujaelewaa basi na wewe unatafakari kama ya kuku
Wewe pia una madini mbona viongozi wako hawakufikiri/hawafikiri kama Eagle? Or do you mean we are all chicken?Zimbabwe kuna madini .. ni mzalendo ..hatafakari kama kuku kwa kuona karibu tu bali anatafakari kama eagle kwa kuona mbalii zaidii.. kama haujaelewaa basi na wewe unatafakari kama ya kuku
Umekaa na kasmart phone kako kutoka Zimbabwe au? Aseme Mugabe ujiite Eagle wewe! Jinga kabisakiufupii kuna mapandikizi changanya na za kwako
Una maanisha KOLEZEA au KOREZEA? Ok think like Eagle and don't write like Chicken plzkorezea na wino
ANAWAONESHA WARITHI WAKE ATAKAPONG'ATUKA NAO WAFANYE HIVYOSwali langu kwanini anaitisha uchaguzi wakati anajua matokeo?
Yupi huyo Faiza?Le Mutuz
Baharia asiyejuwa kuogelea.
Yupi huyo Faiza?
Gwiji la mitandao Afrika. Zee linalovaa KK. Bingwa wa kupiga mapicha na le totoz. Lina IQ kubwa kupita ya samaki.
asiyejuwa=asiyejuaLe Mutuz
Baharia asiyejuwa kuogelea.
Hahaha! daah! Alifaa awe amshauri wa masuala ya wizara ya mambo ya nje!!Le Mutuz
Baharia asiyejuwa kuogelea.