Moja kati ya interview ya makamba na bbc ninazo zipenda.

Moja kati ya interview ya makamba na bbc ninazo zipenda.

MR SAAD

Member
Joined
Oct 14, 2014
Posts
19
Reaction score
4
Katiba mpya yahitaji muafaka wa kitaifa.

Kuna haja ya kuitishwa kwa kura ya maoni juu ya uwepo wa jamhuri ya muungano na muundo wa muungano.

Rais ajaye inabidi aendane na mabadiliko makubwa ya sayansi na teknolijia hivyo fikra mpya ni muhumu katika kuingoza nchi yetu kuliko kipindi chochote.

Anafikiria kugombea urais wa nchi yetu hata hivyo bado anahitaji zaidi ushauri toka kwa watu mbambali hususani viongozi wa makundi mbalimbali.

 
Last edited by a moderator:
Magamba hatuwapi nafasi tena tumechoka!!!si ni mtoto wa chama cha magamba na amenyonya fikara zao za uonevu na uzandiki!!! kapu ni lilelile la ng'e..hatuitaji kupata matatizo tena!!
 
tuwekeeni na thread ya kesho kabisa maana ni mapumziko
 
Magamba hatuwapi nafasi tena tumechoka!!!si ni mtoto wa chama cha magamba na amenyonya fikara zao za uonevu na uzandiki!!! kapu ni lilelile la ng'e..hatuitaji kupata matatizo tena!!

acha kuchanganya vitu ww
 
Back
Top Bottom