D2050
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 1,902
- 1,067
Ndugu alipatwa na ajali ya pikipiki mwezi wa 11 2019 maeneo ya Gongo la Mboto, alipelekwa hospitali ya Amana napo wakashauri apelekwe MOI.
Baada ya kumpeleka MOI toka tarehe 18/11/2019 hadi leo mgonjwa hajatibiwa mnataka afe? Muda aliokaa kitandani hapo bili mtakayoleta hapo baadae mnataka tushindwe kulipa?
Waziri wa Afya na Mkuu wa Kitengo cha MOI wagonjwa wengi wanalalamika kutopata huduma zilizo sahihi na kwa wakati. Kumbukeni hao wanaoumwa hawakutaka kuumwa bali mwenyezi Mungu ndio kawapangia.
Manesi wa MOI wana kauli za hovyo hawapendi kuwasikiliza wagonjwa hadi uwape rushwa ndio mgonjwa wako atasikilizwa.
Baada ya kumpeleka MOI toka tarehe 18/11/2019 hadi leo mgonjwa hajatibiwa mnataka afe? Muda aliokaa kitandani hapo bili mtakayoleta hapo baadae mnataka tushindwe kulipa?
Waziri wa Afya na Mkuu wa Kitengo cha MOI wagonjwa wengi wanalalamika kutopata huduma zilizo sahihi na kwa wakati. Kumbukeni hao wanaoumwa hawakutaka kuumwa bali mwenyezi Mungu ndio kawapangia.
Manesi wa MOI wana kauli za hovyo hawapendi kuwasikiliza wagonjwa hadi uwape rushwa ndio mgonjwa wako atasikilizwa.