Jeep wrangler JF-Expert Member Joined Jan 7, 2024 Posts 1,774 Reaction score 3,303 Jul 15, 2025 #41 Yoav Gallant said: Huyo angebaki hukohuko kwa walozi wenzake Click to expand... Walishaachana naye
joseph1989 JF-Expert Member Joined May 4, 2014 Posts 19,408 Reaction score 41,542 Jul 15, 2025 #42 the kind said: Hata Simba sc siku anapigwa 5-1 dhidi ya yanga kumbuka Simba sc alikua na vijana wengi na yanga sc alikua na wezee wengi I've just remind you Click to expand... Kipiindi anapigwa tano viijana wakina Saido,Chama, Ngoma, Kapombe, Shabalala,Manula, Mzamiru hawa ndio vijana? au labda uliangalie derby nyingine. Unaniremind huku ukiwa hujafanya homework vizuri.
the kind said: Hata Simba sc siku anapigwa 5-1 dhidi ya yanga kumbuka Simba sc alikua na vijana wengi na yanga sc alikua na wezee wengi I've just remind you Click to expand... Kipiindi anapigwa tano viijana wakina Saido,Chama, Ngoma, Kapombe, Shabalala,Manula, Mzamiru hawa ndio vijana? au labda uliangalie derby nyingine. Unaniremind huku ukiwa hujafanya homework vizuri.