Afisa Tabibu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 484
- 799
Hivi nikisema huyu ndo namba tatu bora wa muda wote katika ligi kuu ya Tanzania bara nitakuwa nimekosea? Huyu jamaa amecheza kwa kiwango bora kwa misimu karibia kumi mfululizo, amecheza timu ya Taifa mara nyingi mno, ni mchezaji bora sana katika nchi hii.
Nasikitika haheshimiwi, sifa wanapewa wengine yeye anarukwa, tafadhalini sana wanasoka tumpe heshima huyu kijana, sio rahisi kupata mchezaji wa kariba yake kwa miaka hii ya karibuni.
Nasikitika haheshimiwi, sifa wanapewa wengine yeye anarukwa, tafadhalini sana wanasoka tumpe heshima huyu kijana, sio rahisi kupata mchezaji wa kariba yake kwa miaka hii ya karibuni.