PreGE2025 Mohamed Ali Kawaida atoa maagizo kwa UVCCM ngazi ya mikoa na wilaya kuwa na vitega uchumi

PreGE2025 Mohamed Ali Kawaida atoa maagizo kwa UVCCM ngazi ya mikoa na wilaya kuwa na vitega uchumi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
843
Reaction score
1,024
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohammed Ali Kawaida (MCC) ametoa maagizo kwa Viongozi wa UVCCM mikoa yote na wilaya Tanzania kuwa na vitega uchumi ili kuondoa utegemezi.

Kawaida ameyasema hayo leo tarehe 24 Machi 2025 mkoani Singida alipofanya ziara ya kufungua vitega uchumi vya UVCCM ikiwemo fremu 73 na jengo la hosteli lenye vyumba 19.

"Nitoe wito kwa wale ambao mmeanza kutekeleza sera hii basi waendelee, kwa wale ambao hamjaanza watekeleze sera hii ya Umoja wa Vijana na Uchumi Imara," amesema Kawaida

 
Back
Top Bottom