spyboss
Member
- Nov 30, 2015
- 45
- 69
Wakuu habari za muda huu............kwa wale tuliofanikiwa kufanya interview za ufadhili wa masomo China pale katika ubalozi wao kitengo cha uchumi na biashara zijulikanazo kama MOFCOM ni nini kinaendelea????? kuna mwenye taarifa yeyote kuhusiana na ufadhili huu wa masomo???