Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
waheshimiwa, tafadhali, naombeni mwenye uzoefu wa hizi moderm za internet za mitandao ya simu anisaidie kitu hiki, mwanzoni nimekuwa nikitumia zantel kwa muda mrefu, nilikuwa Dar es salaam, niliposafiri kuja mkoani kwa kuhamishwa kikazi, haipatikani hata ukisimama kwenye kilima kirefu namna gani...nimeiweka sandukuni hadi nikitembelea dar. nilikuwa naona kama wao, hasa kwa dar ndo wazuri kwahabari ya bei nafuu, hasa hybrid, bundle zao za wiki na mwezi.
sasa huku mkoani nataka kupata net mpya,...matangazo kwenye radio na tv ni mengi, kila mtu anashindana hata hawahawa zantel ambao mkoani hawapo...naombeni mzoefu anisaidie, mtandao gani bora kuliko yote, wenye bei nafuu kwa mtu wa kipato cha chini, ulio faster na unaofika Tanzania nzima kwa internet? nitashukuru sana kama mtanisaidia jibu...kati ya hiyo niliyoiweka juu.
sasa huku mkoani nataka kupata net mpya,...matangazo kwenye radio na tv ni mengi, kila mtu anashindana hata hawahawa zantel ambao mkoani hawapo...naombeni mzoefu anisaidie, mtandao gani bora kuliko yote, wenye bei nafuu kwa mtu wa kipato cha chini, ulio faster na unaofika Tanzania nzima kwa internet? nitashukuru sana kama mtanisaidia jibu...kati ya hiyo niliyoiweka juu.