Mkuu hii modem ina speed gani? Na aina gani? Maongezi yapo? Nahitaji kweli mkuuipo modem ya kutumia line ya 4g bei ni 45 mpya ipo sealed 0712212220
modem ni huaweiMkuu hii modem ina speed gani? Na aina gani? Maongezi yapo? Nahitaji kweli mkuu
Poa mkuu kesho nakuja Hukomodem ni huawei
speed 7.2 mbps
support 4g
ni universal inakubali line zote
bei ni 45000
namba yangu hiyo au unaweza kuja ofisini magomeni tukuuzie
Kuwa mvumilivu yupo njiani anakuja,si unajua anatokea Kigoma!!mkuu sijakuona umenilaza na njaaa 😛😛😛
Hivi kiongozi kweli uliamini huyo jamaa anaweza kuja? biashara na wateja wa kitanzania hasa mitandaoni ni pasua kichwa unaweza kuta hata hela hana ila hawezi sema tu kwamba hana hela....mkuu sijakuona umenilaza na njaaa 😛😛😛
duh anayo banaHivi kiongozi kweli uliamini huyo jamaa anaweza kuja? biashara na wateja wa kitanzania hasa mitandaoni ni pasua kichwa unaweza kuta hata hela hana ila hawezi sema tu kwamba hana hela....
Ni kweli aiseeeHivi kiongozi kweli uliamini huyo jamaa anaweza kuja? biashara na wateja wa kitanzania hasa mitandaoni ni pasua kichwa unaweza kuta hata hela hana ila hawezi sema tu kwamba hana hela....