no problem mzee,nataka kuziuza maana nilisha muazima jamaa modem yangu ya sasatel na akaitumia bila shida.so i hope atakaenunua yeyote hata leta complication za kuomba jina la usajili libadilishwe,hata hivyo hizi modem ni plug and play so cha msingi ni kuingiza tu vocha na kutumia.