Kwa hapa Tz speed ya internet sio Modem yako, Huwa inategemea na ISP wako kama ni Voda, Tigo au Airtel, Na ndani ya hao ISP speed ya internet wanalimit kutegemea na data bundle unayotumia, Na ndani ya hiyo bundle unayotumia speed ya internet inategemea na location uliyopo yaani The higher the distance the lower the speed & vice-versa, yaani kama wewe upo Gongo la mboto au Mbagala majimatitu utakuwa unaenda mwendo wa Kobe mwanzo mwisho.Modem ipi ina speed kati ya ZTE na Huawei?