TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,202
- 25,377
Tulisema na kuandika humu, matukio haya ya maandamano nk ndipo Pesa inapigwa hasa, waliopo kwenye mnyororo wa upigaji wanafuja pesa kwa nguvu kubwa sana.
Ilikuwa ya kumkamata Mange, leo kuna hii ya vifo vya wananchi na kurundikwa mochwari.
Soma mwenyewe hapa chini. 😢.
========================
Nimeambiwa na ndugu yangu anayefanya kazi hapo Hospitali ya Mwananyamala kwamba Wwamepeleka mafundi kwenda Kkubadilisha vigae/tiles na baadhi ya fanicha kuonesha kwamba zile Video siyo originali ni AI, na haikuwa hapo Mwananyamala.
Hii wanaweza kufanya mochwari zote kuficha Ukweli lakni Technology itawaumbua.
C.P.
Ilikuwa ya kumkamata Mange, leo kuna hii ya vifo vya wananchi na kurundikwa mochwari.
Soma mwenyewe hapa chini. 😢.
========================
Nimeambiwa na ndugu yangu anayefanya kazi hapo Hospitali ya Mwananyamala kwamba Wwamepeleka mafundi kwenda Kkubadilisha vigae/tiles na baadhi ya fanicha kuonesha kwamba zile Video siyo originali ni AI, na haikuwa hapo Mwananyamala.
Hii wanaweza kufanya mochwari zote kuficha Ukweli lakni Technology itawaumbua.
C.P.