Mobile traker

Mobile traker

naliwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
476
Reaction score
1,063
Leo ni kati ya siku ambayo nimefrahi sana pengine kuliko siku zote

Nilihisi japo sijawa na uhakika,nilikua namwambia Mara kwa Mara alikua akibisha tena kwa ugomvi mkubwa tu tena Mara nyingine hatuongei week nzima

Ila Leo ukweli umejishihirisha tena kwa ushahidi wa kutosha kabisa aksante sana alieleta Uzi wa mobile tracker japo sijajua bado kama ilikua jukwaa hili au lingine

Kifupi ni kwamba Mimi na mchepuko kwangu tunaishi mbali mbali kidogo kama kilometa moja ivi,

Kila nikitoka kwake narudi nyumbani mwenzangu anaingiza kijamaa tena ninaye mfaahamu sasa majuzi niliona andiko LA mobile traker nikajalibu kulifatilia hatimaye nikafanikiwa kuingiza hii program kwenye sim yake

Asubuhi naifungua kummonitor nakutana na mapicha wamepiga huku wanaduu aisee,nimekuta SMS kibao zinazonitukana eti Mimi boya aisee,jamaa kapiga hadi 0713 daa mungu wangu sijawai hataaa

Mwanamke ambaye namuudumia hadi elimu yake naifinance Mimi Leo hii ndo yamekua haya aisee,

Kweli bola ufuge mbwa,

[HASHTAG]#1Note[/HASHTAG],
kama nilivyoeleza hapo juu naomba mnishauri nimwambie na kumuonesha mapicha yake ndo nimwache au nimwache kimya kimya,


[HASHTAG]#note[/HASHTAG] 2
Admin naomba usiulink huu Uzi tafadhari sana

Naliwe wa lumumba
 
Leo ni kati ya siku ambayo nimefrahi sana pengine kuliko siku zote

Nilihisi japo sijawa na uhakika,nilikua namwambia Mara kwa Mara alikua akibisha tena kwa ugomvi mkubwa tu tena Mara nyingine hatuongei week nzima

Ila Leo ukweli umejishihirisha tena kwa ushahidi wa kutosha kabisa aksante sana alieleta Uzi wa mobile tracker japo sijajua bado kama ilikua jukwaa hili au lingine

Kifupi ni kwamba Mimi na mchepuko kwangu tunaishi mbali mbali kidogo kama kilometa moja ivi,

Kila nikitoka kwake narudi nyumbani mwenzangu anaingiza kijamaa tena ninaye mfaahamu sasa majuzi niliona andiko LA mobile traker nikajalibu kulifatilia hatimaye nikafanikiwa kuingiza hii program kwenye sim yake

Asubuhi naifungua kummonitor nakutana na mapicha wamepiga huku wanaduu aisee,nimekuta SMS kibao zinazonitukana eti Mimi boya aisee,jamaa kapiga hadi 0713 daa mungu wangu sijawai hataaa

Mwanamke ambaye namuudumia hadi elimu yake naifinance Mimi Leo hii ndo yamekua haya aisee,

Kweli bola ufuge mbwa,

[HASHTAG]#1Note[/HASHTAG],
kama nilivyoeleza hapo juu naomba mnishauri nimwambie na kumuonesha mapicha yake ndo nimwache au nimwache kimya kimya,


[HASHTAG]#note[/HASHTAG] 2
Admin naomba usiulink huu Uzi tafadhari sana

Naliwe wa lumumba
yote sawa ila hiyo nembo yako sasa
 
Sisi wanawake sa nyingine bana sijui tunatumiaga matope uku kichwani

Yaaaan vitu vingne hadi aibu.
Kuna lijirani langu lingne apa limetelekeza mtoto wa mwaka na mwanaume aliyemsomesha na kumhudumia kila kitu baada tu ya kumaliza chuo.
Hakika Mungu anatuona
 
Mkuu nenda na wewe kapige 0713 alafu muonyeshe picha na msj zake alafu mpe makavu kwamba kuanzia leo akuone kama transfoma(akae mbali na wewe)

Kiboko ya ujinga ni upumbavu.
 
Dah,pole sna mkuu,inauma sna lkn kama hauna mda wa kumuoa endelea tu kula lkn huduma katisha kabsa
 
Tatizo mwenzio alitaka akupe laini ya 0713, wewe ukangangania 0768 na ndio maana akakuita boya
 
Hivi mtu unaanzaje kuliwa kwenye kinyeo au we mlaji unaanzajeanzaje??????

Inna lillah
Ni zaidi ya msiba
Sodoma na gomora
 
Wanawake hawa wenye kula Chips kuku tena kuku wa maabara watawauwa huu mwaka.

Akili za kuku wa kienyeji huwezi kulinganisha na akili za mwanamke mpumbavu wa kileo.
 
Leo ni kati ya siku ambayo nimefrahi sana pengine kuliko siku zote

Nilihisi japo sijawa na uhakika,nilikua namwambia Mara kwa Mara alikua akibisha tena kwa ugomvi mkubwa tu tena Mara nyingine hatuongei week nzima

Ila Leo ukweli umejishihirisha tena kwa ushahidi wa kutosha kabisa aksante sana alieleta Uzi wa mobile tracker japo sijajua bado kama ilikua jukwaa hili au lingine

Kifupi ni kwamba Mimi na mchepuko kwangu tunaishi mbali mbali kidogo kama kilometa moja ivi,

Kila nikitoka kwake narudi nyumbani mwenzangu anaingiza kijamaa tena ninaye mfaahamu sasa majuzi niliona andiko LA mobile traker nikajalibu kulifatilia hatimaye nikafanikiwa kuingiza hii program kwenye sim yake

Asubuhi naifungua kummonitor nakutana na mapicha wamepiga huku wanaduu aisee,nimekuta SMS kibao zinazonitukana eti Mimi boya aisee,jamaa kapiga hadi 0713 daa mungu wangu sijawai hataaa

Mwanamke ambaye namuudumia hadi elimu yake naifinance Mimi Leo hii ndo yamekua haya aisee,

Kweli bola ufuge mbwa,

[HASHTAG]#1Note[/HASHTAG],
kama nilivyoeleza hapo juu naomba mnishauri nimwambie na kumuonesha mapicha yake ndo nimwache au nimwache kimya kimya,


[HASHTAG]#note[/HASHTAG] 2
Admin naomba usiulink huu Uzi tafadhari sana

Naliwe wa lumumba
Mkuu naomba Jina la hii application
 
Mama Ndalichako hebu anzisha "pre university course" maana hawa vijana wametoka kambi za jkt wanatusumbua sana,
 
Nitumie hizo picha PM ili nione nakusaidiaje, maana tatizo lako ni kubwa sana..
 
Back
Top Bottom