naliwe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 476
- 1,063
Leo ni kati ya siku ambayo nimefrahi sana pengine kuliko siku zote
Nilihisi japo sijawa na uhakika,nilikua namwambia Mara kwa Mara alikua akibisha tena kwa ugomvi mkubwa tu tena Mara nyingine hatuongei week nzima
Ila Leo ukweli umejishihirisha tena kwa ushahidi wa kutosha kabisa aksante sana alieleta Uzi wa mobile tracker japo sijajua bado kama ilikua jukwaa hili au lingine
Kifupi ni kwamba Mimi na mchepuko kwangu tunaishi mbali mbali kidogo kama kilometa moja ivi,
Kila nikitoka kwake narudi nyumbani mwenzangu anaingiza kijamaa tena ninaye mfaahamu sasa majuzi niliona andiko LA mobile traker nikajalibu kulifatilia hatimaye nikafanikiwa kuingiza hii program kwenye sim yake
Asubuhi naifungua kummonitor nakutana na mapicha wamepiga huku wanaduu aisee,nimekuta SMS kibao zinazonitukana eti Mimi boya aisee,jamaa kapiga hadi 0713 daa mungu wangu sijawai hataaa
Mwanamke ambaye namuudumia hadi elimu yake naifinance Mimi Leo hii ndo yamekua haya aisee,
Kweli bola ufuge mbwa,
[HASHTAG]#1Note[/HASHTAG],
kama nilivyoeleza hapo juu naomba mnishauri nimwambie na kumuonesha mapicha yake ndo nimwache au nimwache kimya kimya,
[HASHTAG]#note[/HASHTAG] 2
Admin naomba usiulink huu Uzi tafadhari sana
Naliwe wa lumumba
Nilihisi japo sijawa na uhakika,nilikua namwambia Mara kwa Mara alikua akibisha tena kwa ugomvi mkubwa tu tena Mara nyingine hatuongei week nzima
Ila Leo ukweli umejishihirisha tena kwa ushahidi wa kutosha kabisa aksante sana alieleta Uzi wa mobile tracker japo sijajua bado kama ilikua jukwaa hili au lingine
Kifupi ni kwamba Mimi na mchepuko kwangu tunaishi mbali mbali kidogo kama kilometa moja ivi,
Kila nikitoka kwake narudi nyumbani mwenzangu anaingiza kijamaa tena ninaye mfaahamu sasa majuzi niliona andiko LA mobile traker nikajalibu kulifatilia hatimaye nikafanikiwa kuingiza hii program kwenye sim yake
Asubuhi naifungua kummonitor nakutana na mapicha wamepiga huku wanaduu aisee,nimekuta SMS kibao zinazonitukana eti Mimi boya aisee,jamaa kapiga hadi 0713 daa mungu wangu sijawai hataaa
Mwanamke ambaye namuudumia hadi elimu yake naifinance Mimi Leo hii ndo yamekua haya aisee,
Kweli bola ufuge mbwa,
[HASHTAG]#1Note[/HASHTAG],
kama nilivyoeleza hapo juu naomba mnishauri nimwambie na kumuonesha mapicha yake ndo nimwache au nimwache kimya kimya,
[HASHTAG]#note[/HASHTAG] 2
Admin naomba usiulink huu Uzi tafadhari sana
Naliwe wa lumumba