Goku 255
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 451
- 872
Siku ya jumatano tarehe 29 october mwaka 2025,itabakia historia maishan mwangu kwa kuponea kwenda israeli. Nilijikita kwenye maandamano ya vugugu la gen-z,ambao tulipinga uchaguz huo.Ghafla maandamano yalibadilika na kuwa kisiwa cha mauti polisi wakatili walianza kutufyatulia risasi bila huruma.Ikawa n mguu niponye,polisi waliua wanainchi bila huruma. mimi nilipata risasi mbili moja kwa bega na nyingine kwa mguu.Ila nilihuzunika nilipotazama wenzangu walivyouwawa kikatili.
nilihuzunika ila nilimshukuru mola kwa kunirehem,na kunisuru na israel,saiv ningekuwa sipo ten dunian.
nilihuzunika ila nilimshukuru mola kwa kunirehem,na kunisuru na israel,saiv ningekuwa sipo ten dunian.