βΌοΈπ¨TUPO TAYARI KUKUSANYA TAARIFA NA USHAHIDIβΌοΈ
Call centre ya Oktoba 29 imekamilika.
Unaweza kutuma ujumbe kupitia Whatsapp, Signal na Telegram
Pia unaweza kutuma SMS na ujumbe wa sauti
Na wakizima kabisa mitandao tumia RelaySMS
Call centre ni salama na server ziko nje ya nchi na wabobezi wa maswala ya usalama wa kidijitali!
Safari ya ICC ya madhalim yataanzia hapa!
Tumia vyema simu yako kurekodi ushahidi
#MO29
#OktobaTunatoka
@MariaSTsehai /X
Wasambazaji wakubwa wa taarifa za upotoshaji ni serikali na machawa wa Mama! Ila hamjawahi hata kutoa onyo!
Yana mwisho haya na very soon #TutaelewanaTu
Maria - Xspace
Leo tutakuwa na #MariaSpaces maalum masaa chache kabla ya #MO29
Tunajadili kifupi na kuombea nchi na watu wake
Itakuwa Space fupi karibuni mtakaoweza!
Maria - Xspace
Leo tutakuwa na #MariaSpaces maalum masaa chache kabla ya #MO29
Tunajadili kifupi na kuombea nchi na watu wake
Itakuwa Space fupi karibuni mtakaoweza! View attachment 3495309