digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,008
- 14,702
Mud kama mud
Naam ndo mana anawaandaa makolo kisaikolojia.Ndio timu ikiingia robo c inapata fungu ndio anataka kulipiga chap.
Hahahahahaha.....Huyu mhindi anatuchukuliaje?
Kina fledi....huoni wamefunga janaQuality players gani hao wa kuokota okota ama
Hahahahahaha...aisee nimeamini yasemwayo mitandaoniLeo sina neno kuhusu mchakato wa mabadiliko ya umiliki wa Simba ila niseme tu katika kipindi hiki cha miaka 5, Simba rank yake Afrika imeruka juu sana.
Simba imezifunga sana timu kongwe Afrika hadi leo inaonekana ni jambo la kawaida, kuna msimu ilivuka hatua ya makundi kwa kuongoza kundi mbele ya vigogo akiwemo bingwa mtetezi, na msimu huu siku chache zijazo inaenda kuvuka hatua ya makundi kwa kumtoa mashindanoni mmoja wa vigogo.
Nadhani Mo ana mchango wake katika haya mafanikio.
Kapoteza hela au kawekeza ?
Anavumilia coz yeye pia ni shabiki ndaki ndaki wa Simba...Amepoteza B 51 kwa miaka 5. Amepoteza, kwa maana ni hasara. Na bado tu yupo. Mwaka wa kwanza amepoteza B 10.2, wa pili B 10.2, wa tatu halikadhalika, na mwaka wa nne, na watano na bado yupo ina maana yupo tayari kupoteza tena mwaka wa sita!!!
Hii ni janja janja, kweli wajinga ndio waliwao!!!
Anawakumbusha wasimsahauAkiona makolo wanataka kuvuka hatua ya robo tu anajitokeza kuongelea pesa alizowekeza ukoloni.
Ya Leo kabisa mkuuHivi juzi juzi tu hapa Simba si ilitqngaza faida, sasa iweje mmliki apate hasara...au hii video clip imerekodiwa miaka ya nyuma?
Mechi na wale wacheza bonanza wa tra ndio kipimo cha kina Fred kweli?
Yapi hayo?Hahahahahaha...aisee nimeamini yasemwayo mitandaoni
Sikutegemea kama ungejibu hivyoYapi hayo?
Ukiona hivyo Kuna pesa inakaribia kuingia kashanusa robo
Yaah ni kweli mkuu bila hawa wadhamini mambo ingekuwa ngumuLeo sina neno kuhusu mchakato wa mabadiliko ya umiliki wa Simba ila niseme tu katika kipindi hiki cha miaka 5, Simba rank yake Afrika imeruka juu sana.
Simba imezifunga sana timu kongwe Afrika hadi leo inaonekana ni jambo la kawaida, kuna msimu ilivuka hatua ya makundi kwa kuongoza kundi mbele ya vigogo akiwemo bingwa mtetezi, na msimu huu siku chache zijazo inaenda kuvuka hatua ya makundi kwa kumtoa mashindanoni mmoja wa vigogo.
Nadhani Mo ana mchango wake katika haya mafanikio.