Mo dewji: Nimepoteza billion 41 ndani ya Simba

Leo sina neno kuhusu mchakato wa mabadiliko ya umiliki wa Simba ila niseme tu katika kipindi hiki cha miaka 5, Simba rank yake Afrika imeruka juu sana.

Simba imezifunga sana timu kongwe Afrika hadi leo inaonekana ni jambo la kawaida, kuna msimu ilivuka hatua ya makundi kwa kuongoza kundi mbele ya vigogo akiwemo bingwa mtetezi, na msimu huu siku chache zijazo inaenda kuvuka hatua ya makundi kwa kumtoa mashindanoni mmoja wa vigogo.

Nadhani Mo ana mchango wake katika haya mafanikio.
 
Leo sina neno kuhusu mchakato wa mabadiliko ya umiliki wa Simba ila niseme tu katika kipindi hiki cha miaka 5, Simba rank yake Afrika imeruka juu sana.

Simba imezifunga sana timu kongwe Afrika hadi leo inaonekana ni jambo la kawaida, kuna msimu ilivuka hatua ya makundi kwa kuongoza kundi mbele ya vigogo akiwemo bingwa mtetezi, na msimu huu siku chache zijazo inaenda kuvuka hatua ya makundi kwa kumtoa mashindanoni mmoja wa vigogo.

Nadhani Mo ana mchango wake katika haya mafanikio.
Hahahahahaha...aisee nimeamini yasemwayo mitandaoni
 
...Amepoteza B 51 kwa miaka 5. Amepoteza, kwa maana ni hasara. Na bado tu yupo. Mwaka wa kwanza amepoteza B 10.2, wa pili B 10.2, wa tatu halikadhalika, na mwaka wa nne, na watano na bado yupo ina maana yupo tayari kupoteza tena mwaka wa sita!!!

Hii ni janja janja, kweli wajinga ndio waliwao!!!
Anavumilia coz yeye pia ni shabiki ndaki ndaki wa Simba

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Leo sina neno kuhusu mchakato wa mabadiliko ya umiliki wa Simba ila niseme tu katika kipindi hiki cha miaka 5, Simba rank yake Afrika imeruka juu sana.

Simba imezifunga sana timu kongwe Afrika hadi leo inaonekana ni jambo la kawaida, kuna msimu ilivuka hatua ya makundi kwa kuongoza kundi mbele ya vigogo akiwemo bingwa mtetezi, na msimu huu siku chache zijazo inaenda kuvuka hatua ya makundi kwa kumtoa mashindanoni mmoja wa vigogo.

Nadhani Mo ana mchango wake katika haya mafanikio.
Yaah ni kweli mkuu bila hawa wadhamini mambo ingekuwa ngumu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom