Mo Dewj kufanya kufuru dirisha dogo

Manzoki ashakuwa mzee halafu yule ni mchezaji wa Mwenyekiti Mangungu. Dirisha dogo tutamsajili Fei Toto kama X-Factor wetu tuliyemkosa kwenye dirisha hili kubwa la usajili kwa msaada wa Jayrutty.

Mo hela haze ziko benki, hataki kuzitoa.
 
Dahhh ila pateli πŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏ
 
Atamsajiri nani Afrika hii ya siku hizi?
Hemu msaidieni kwa kumpa majina,
Kama mnafikiri ni rahisi hivyo:
Labda aende nje ya Africa kama Mamelodi anavyofanya sasa.

Mamelodi na Al ahly walishaachana na wachezaji kutoka West Africa siku hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…