D DK BABA Member Jun 7, 2012 14 0 Jul 25, 2012 #1 Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, zitto ana mambo anayo yasema na kuyasimamia. hachukui posho mpaka sasa
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, zitto ana mambo anayo yasema na kuyasimamia. hachukui posho mpaka sasa
Scofied JF-Expert Member Jun 5, 2012 2,455 1,657 Jul 25, 2012 #2 kwa hiyo kama achukui posho anafaa kuwa rais wa nchi hii......?? Akili za mbayuwayu hiyo..:nono:
OLESAIDIMU JF-Expert Member Dec 2, 2011 19,139 9,525 Jul 25, 2012 #3 DK BABA said: Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, zitto ana mambo anayo yasema na kuyasimamia. hachukui posho mpaka sasa Click to expand... Thus............???????
DK BABA said: Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, zitto ana mambo anayo yasema na kuyasimamia. hachukui posho mpaka sasa Click to expand... Thus............???????
D DK BABA Member Jun 7, 2012 14 0 Jul 25, 2012 Thread starter #4 inaonesha anavyo simamia kile anacho kisema na kukiamini na hii ni sifa ya kiongozi bora
MATESLAA JF-Expert Member Aug 11, 2011 1,246 74 Jul 25, 2012 #5 Unajua kuna mambuzi flani humu jamvini wanashindwa kutumia akili zao vizuri tulishasema dr slaa ndio rais wa 1215 na si vindenevyo
Unajua kuna mambuzi flani humu jamvini wanashindwa kutumia akili zao vizuri tulishasema dr slaa ndio rais wa 1215 na si vindenevyo
jogi JF-Expert Member Sep 25, 2010 25,558 25,322 Jul 25, 2012 #6 Scofied said: kwa hiyo kama achukui posho anafaa kuwa rais wa nchi hii......?? Akili za mbayuwayu hiyo..:nono: Click to expand... siyo akili za mbayuwayu hizo, ni mashonde haya. Zito sasa anachukiza.
Scofied said: kwa hiyo kama achukui posho anafaa kuwa rais wa nchi hii......?? Akili za mbayuwayu hiyo..:nono: Click to expand... siyo akili za mbayuwayu hizo, ni mashonde haya. Zito sasa anachukiza.