Mnyika na maji ya shingo Kibamba

Pyeeeeeeee.. Katika watu wanausubiri kuapishwa ni Mnyika. Yani mama wa utii wa roda hachomokiiiii. Amuulize Hawa Ng'umbi na uwezo aliokuwa nao.
 
acha uongo wewe,mpaka sa HV mnyika kashafanya mikutano zaidi ya ishirini,mgombea was uoande was pili ye anatembeza faranga tuu usiku. Mnyika kibamba ushindi mapeemaa
 

Kwan masts ndio sifa ya kuwa kiongoz!na wale wasomi wanaoongeaga pumba bungeni
Kibamba twende na mnyika
 
Mkandala ndo amekutuma? Mwambie wenye Kibamba wanemsindikiza Mnyika Dodoma kusubiri kuapishwa. Mwambie mamako atafute kazi ya kyufanya.
 
Mnyika atakuwa mbunge wa kwanza kufungua milango ya bunge.
 
Mimi ni mwana Goba, hapa Goba ni Mnyika tu. Wengine hata hatuwajui.
 
naishi mbezi huku wenyeviti wa mtaa ni chadema ccm haijulikani huku kwani ccm mgombea wao ubunge ni nani huku kibamba maana kila siku na kila mahali mikutano ya mnyika tuuu.hana mpinzani na anajiweza pekee ni sawa na wabunge 100 wa ccm
 
Hizi ajira za Lumumba zinapatikanaje MKUU? Ninaweza kufanya Kaz kwa ufanisi sana kuliko mliopo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…