Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo kitafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika jimbo la Handeni.
Taarifa ya Mkuu wa Habari wa chama hicho Tumaini Makene inasema mkutano huo wa hadhara wa kampeni za uchaguzi Jimbo la Handeni, utakaofanyika leo jioni mjini Handeni, mkoani Tanga, utahutubiwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Chama, JJ Mnyika kuanzia saa 8 mchana.
Mojawapo ya masuala ya atakayoyazungumzia ni uchambuzi wa uteuzi wa Baraza la Mawaziri la JPM uliotangazwa jana. Unakaribishwa sana.
Mkutano huo pia utahudhuriwa na wabunge wa UKAWA.
Taarifa ya Mkuu wa Habari wa chama hicho Tumaini Makene inasema mkutano huo wa hadhara wa kampeni za uchaguzi Jimbo la Handeni, utakaofanyika leo jioni mjini Handeni, mkoani Tanga, utahutubiwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Chama, JJ Mnyika kuanzia saa 8 mchana.
Mojawapo ya masuala ya atakayoyazungumzia ni uchambuzi wa uteuzi wa Baraza la Mawaziri la JPM uliotangazwa jana. Unakaribishwa sana.
Mkutano huo pia utahudhuriwa na wabunge wa UKAWA.
Last edited by a moderator: