Mnyika ahaha kusaka kura usiku kucha

Mnyika ahaha kusaka kura usiku kucha

Mbona myika anawajambisha!hahahahaha subirini huyo mama yenu kama atapata kura
 
Mnyika ana 15 more years kwenye ubunge
 
Huku malamba mawili hatumpi kura kutuongopea maji na hakuna maji hadi kesho

Kumbuka anaetakiwa kukuletea Maji ni serikali iliyokuwa madarakani.mbunge yeye anaenda kutetea jimbo lake.so usimlaumu yeye maana anakwamishwa na hayo malanguzi...
 
Tuna mnyima kura coz m babaishaji anakimbia matatizo aliyoshindwa kuyatatua 😡
 
hivi kibamba kuna hospitali kubwa,,,mfano mtu akitaka kujifungua aanaenda wapi?
 
Naona unajitekenya na kucheka mwenyewe.


. Hakuna kujitekenya na kucheka.....huyu jamaa hafai kabisa kawa lofa misiri ya nyumbu....umeishi ubungo miaka yote haukuleta mabadiliko tumekustai kwa sababu ya cdm......leo eti unakimbilia kibamba....hivi huyu Lowass kawaloga kwa dawa gani kali hivyo mpaka mnashindwa jitambua.....WANAKIBAMBA MYIKA NI MZIGO NA MKATAEENI HAFAI NAWAOMBA MSIFANYE UAMUZI KWA HASIRA ZA CCM CHAGUA MBUNGE YEYOTE ATA KAMA NI WA CHAUMAA.....Madamu sio huyu
 
Back
Top Bottom