Mnyika ahaha kusaka kura usiku kucha

Mnyika ahaha kusaka kura usiku kucha

makoko jumanne

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2015
Posts
584
Reaction score
164
Hali ya mgombea ubunge jimbo la kibamba sio nzuri baada ya wananchi wengi kumkataa hali iliyomlazimu kuhaha usiku wa manane akitafuta kura kwa wananchi wa jimbo hilo ambao wengi wao wana asili ya kanda fulani ambapo watu wake wanasifila kwa kuwa na msimamo,kazi kwako mnyika na ahadi hewa ulizowaahidi wananchi katika kipindi kilichopita
 
mnyika siku zote anajua udsm ndipo alipotatia ubunge but mwaka huu imekura kwake hawezi tena shirikisho lipo vizuri na makini ndani jimbo LA Ubungo na Kibamba
 
aliwaahidi maji baada ya siku 100, lakini hadi leo kibamba maji shida sana
 
Naona unajitekenya na kucheka mwenyewe.
 
Tena anachofanya hafanyi mikutano mingi ya nje aka ya wazi kwa kuogopa kuulizwa alifanya nini wakati akiwa mbunge zaidi ya kuomba miongozo tu
 
Mnyika ndiye aliyekataa kumnadi Lowassa na hata alipokuja aliishia ubungo hakwenda kibamba.

amekubali kulipwa pesa nyingi ili asumbue tume kwa hoja mshenzi
 
kibamba mwaka huu wakimchagua yule mama nitawashangaa sana. mnyika ni chaguo sahihi...
 
Mnyika ndie mbunge wetu kibamba sio yule mama muongaji
 
Mnyika alisababisha watu wakaweka rehani nyumba zao mpaka anaondoka kaacha madeni kaamua kusepa, dogo amegeuka taperi ghafla
 
Huyu dogo bora angekimbilia ACT man ndio upinzani wenye pumzi kwa sasa
 
Back
Top Bottom