Mnyika aanika Siri nzito CHADEMA!!

So mwandishi amefanikiwa kuvuta watu ila kila anaeingia anabaki kucheka tu... maana hiyo said "siri Nzito' haonekani ila ametubamba!

Katubamba hasa, maana mie ndio thread yangu ya kwanza kuisoma.
 
Baba hujasomeka siri nzito au ndo kama vichwa vya habari vya magazeti ya rangi rangi
 

Nadhani siri ni huo mkakati wa kila kata Tz nzima!! Halafu pia ni sanaa ya kiuandishi kuvutia wasomaji.;. Hii sio ripoti kusema heading accuracy counts. Sawa mlema taarifa hujakosea pia umefanikiwa wengi watautembelea uzi huu
 
Nadhani siri ni huo mkakati wa kila kata Tz nzima!! Halafu pia ni sanaa ya kiuandishi kuvutia wasomaji.;. Hii sio ripoti kusema heading accuracy counts. Sawa mlema taarifa hujakosea pia umefanikiwa wengi watautembelea uzi huu

Nakushukuru mkuu kufafanua vizuri sana.Thats why we are GT
 
Siri nzito ndio hiyo? kufungua vijiwe vya vibaka ndio siri? Mi nilishangaa sana kuwa Mnyika anaanika siri nzito wakati hiyo ni kazi ya Slaa aka mzee wa madocuments ya siri.
 
niliingia kw 'speed' kujua ni siri gani ...tuachieni CDM bwana!
 
mimi nilijua kajilipua tena kumbe ni ufunguzi wa matawi.................sielewi kiukweli.

Huelewi nini mkuu? Huelewi CDM sasa itakuwa na ofisi kila kata? Huelewi CDM imejiandaa kukamata dola 2015?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…