Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,095
- 2,429
Last week nliua tandu hapa home ilikuwa kidogo tu aingie ndani. Siku nyingine pia tena tukiwa nje nikamwona tandu tukamwua.
Leo nyoka ametoka sehemu moja ya paving blocks kwenye uwazi kaingia sehemu nyingine.so yuko chini huko kwenye compound nje tu ya mlango wa jikoni.
Kwa asili mimi ukinambia huku kuna nyoka kule kuna simba. nipo tayari kupita kwenye simba nikapambane naye but si nyoka. Hawa nawachukia na hata akiwa amekufa napomwona mwili wangu unasisimka naweza shindwa hata kula.
Sasa wadau nambieni nimfanyeje huyo nyoka. kuna dawa gani ambayo niweke kwenye hayo mashimo afie humo humo.au eneo zima pia liwe treated maana sasa nakosa amani watoto wakicheza nje itakuaje na huyu mdogo anapenda kukaa chini akicheza.
Naomba mnipe uzoefu wenu dawa ambayo itaondoa kabisa aina hii ya wadudu kama nyoka, tandu,nge na ndugu zao maana naona kama wanataka nifanya nihame hapa home.
Leo nyoka ametoka sehemu moja ya paving blocks kwenye uwazi kaingia sehemu nyingine.so yuko chini huko kwenye compound nje tu ya mlango wa jikoni.
Kwa asili mimi ukinambia huku kuna nyoka kule kuna simba. nipo tayari kupita kwenye simba nikapambane naye but si nyoka. Hawa nawachukia na hata akiwa amekufa napomwona mwili wangu unasisimka naweza shindwa hata kula.
Sasa wadau nambieni nimfanyeje huyo nyoka. kuna dawa gani ambayo niweke kwenye hayo mashimo afie humo humo.au eneo zima pia liwe treated maana sasa nakosa amani watoto wakicheza nje itakuaje na huyu mdogo anapenda kukaa chini akicheza.
Naomba mnipe uzoefu wenu dawa ambayo itaondoa kabisa aina hii ya wadudu kama nyoka, tandu,nge na ndugu zao maana naona kama wanataka nifanya nihame hapa home.