Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,900
Hakuna tabu ila usimruhusu aende ccm kwa sababu utakua umepoteza mke mazima
Hakuna tabu ila usimruhusu aende ccm kwa sababu utakua umepoteza mke mazima
Ungekuwa specific kidogo!kupitia chama au taasisi gan ya kisiasa? Kama ni ccm mwanangu utachapiwa sana! Gono ni miongon mwa magonjwa yanayotoweka kwa kasi lkn mwana utajikuta unanililetewa home! Ccm ni balaa ndugu yangu hao ndio wamei advance ngoma ya kigodoro kuwa ngoma ya kishenzi na kuwa gulio la ngono kama huamin angalia mikutano ya ccm dodoma halaf uone yale mapashkuna yaan mashanging au muangalie jully alivyochoka mwili na akili! Kama ni huko mpe ban ya kudumu mnama