Terrible Teen
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 920
- 2,635
endeleeni kumchezea baba yenu MUZUNGU, muda sio mrefu huyo jamaa wa magogoni atapata multiple organs failures
Acha kumfananisha nyerere na hawa kima watu....nakumbuka enzi zile tulisoma na kulishwa vema na MwlNchi yetu ilipewa huu unaoitwa uhuru mwaka 1961, na aliyepewa ni Kiongozi wa kwanza wa nchi yetu na makabidhiano yalifanyika Uingereza, sasa mnajua Nyerere alisaini nini?
Izingatiwe kwamba hatukupata Uhuru kwa kuuchukuwa kwa nguvu bali tulipewa kwa hiari ina maana ni lazima kulikuwa na masharti ambayo Viongozi wetu waliyakubali kwanza, hivyo hamuwezi kujua Nyerere alikubaliana nini na Muzungu, kwa mfano nchi za Afrika Magharibi bado zinailipa nchi ya Ufaransa kwa uwekezaji nchi hiyo iliyofanya wkt wa Ukoloni, hata Nigeria ndiyo maana Mafuta yote waliwapa Uingereza kuyachimba, na aliyemsapoti Dikteta Sani Abacha ni huyo huo Muzungu, hata hapa kwetu Muzungu anachimba Almasi tangu enzi za Ukoloni mpaka leo hii na hkn anayehoji chochote, hata Nyerere mwenyewe hakuhoji,...
Kwa ushauri wako tuache waendelee kuchukua madini yetu auNchi yetu ilipewa huu unaoitwa uhuru mwaka 1961, na aliyepewa ni Kiongozi wa kwanza wa nchi yetu na makabidhiano yalifanyika Uingereza, sasa mnajua Nyerere alisaini nini?
Izingatiwe kwamba hatukupata Uhuru kwa kuuchukuwa kwa nguvu bali tulipewa kwa hiari ina maana ni lazima kulikuwa na masharti ambayo Viongozi wetu waliyakubali kwanza, hivyo hamuwezi kujua Nyerere alikubaliana nini na Muzungu, kwa mfano nchi za Afrika Magharibi bado zinailipa nchi ya Ufaransa kwa uwekezaji nchi hiyo iliyofanya wkt wa Ukoloni, hata Nigeria ndiyo maana Mafuta yote waliwapa Uingereza kuyachimba, na aliyemsapoti Dikteta Sani Abacha ni huyo huo Muzungu, hata hapa kwetu Muzungu anachimba Almasi tangu enzi za Ukoloni mpaka leo hii na hkn anayehoji chochote, hata Nyerere mwenyewe hakuhoji,...
Nchi yetu ilipewa huu unaoitwa uhuru mwaka 1961, na aliyepewa ni Kiongozi wa kwanza wa nchi yetu na makabidhiano yalifanyika Uingereza, sasa mnajua Nyerere alisaini nini?
Izingatiwe kwamba hatukupata Uhuru kwa kuuchukuwa kwa nguvu bali tulipewa kwa hiari ina maana ni lazima kulikuwa na masharti ambayo Viongozi wetu waliyakubali kwanza, hivyo hamuwezi kujua Nyerere alikubaliana nini na Muzungu, kwa mfano nchi za Afrika Magharibi bado zinailipa nchi ya Ufaransa kwa uwekezaji nchi hiyo iliyofanya wkt wa Ukoloni, hata Nigeria ndiyo maana Mafuta yote waliwapa Uingereza kuyachimba, na aliyemsapoti Dikteta Sani Abacha ni huyo huo Muzungu, hata hapa kwetu Muzungu anachimba Almasi tangu enzi za Ukoloni mpaka leo hii na hkn anayehoji chochote, hata Nyerere mwenyewe hakuhoji,...
Acha kumfananisha nyerere na hawa kima watu....nakumbuka enzi zile tulisoma na kulishwa vema na Mwl
Acha kumfananisha nyerere na hawa kima watu....nakumbuka enzi zile tulisoma na kulishwa vema na Mwl
Hahaha love is blind!Love is blind wanasema Wazungu, siku ikija kujulikana kwamba haya yote yanatokea kwa sababu ya makubaliano aliyoingia Nyerere utasema nini? Usishawishike kirahisi namna na Binadamu, wewe Nyerere haumjui zaidi ya kupata tu information ambazo ziko programmed hata hivyo!