Nang'olo Ntela
Senior Member
- Jan 19, 2012
- 108
- 24
...Dua wa jadi, Fundi Said na Chid Chid Chitenda wa Mahuta Shimoni. Chivala vala S Chivala vala, Nan-gwagwa wakiwa Newala.
...Chid Chid Chitenda wa Mahuta shimoni Chivala vala S Chivala vala
huyu bwana alikua akiitwa Jumanne Sebalua Tingisha siku hizi hadi uwe pedesheeKuna S. Tingisha sijui wa wapi huyu jamani.
Namkumbuka Wajadi Fundi, ila sina hakika kama alikuwa anaishi Ikwiri au Utete Rufiji. Zimekuwa siku nyingi!!!
Ebwana nawakumbuka sana hawa jamaa " till i die hair cuttin saloon" sio komakoma kweliKuna mabrother men fulan iv walikua nao Neva miss radio station zote walikua wanapiga sim toka "Til I Die Hair Cuttin Saloon" kinondon nazan majina Yao cyakumbuk wako wap cjui hawa nao.
Kuna mmoja alikua anajiita 'Jemedari Mkuu aliyevuka maji ya shingo bila mgongoni kuloa'
Hao akina Manka Mushi na Hussein Makabuleta wamekuja kipindi hiki cha salam kwa njia ya simu...
Mi nazungumzia enzi zileee za post kadi kipindi cha Jambo, Mchana Mwema, Salam za mchana, Shambani, na pole kwa kazi...