Mnaotegemea kupata mikopo loan board piteni hapa

Mnaotegemea kupata mikopo loan board piteni hapa

Idd Amin Dada!!

Nadhani alikuwa Malaika huyu!!

Kama nikitumia kipimo hiki kipya!
 
Daaah
Kilicho ahidiwa na kinacho fanyika, tofaaautii
 
Wadau kwa mujibu wa ujumbe alioutoa bhana venance shitindi tusipofatilia swala hili linakula kwetu hapa chamsingi ni kuifkishia serikali malalamiko kwann wasitekeleze agizo la raisi wakati wa kampeni ?.
Unaambiwa hta boom znaendaktilewa kwa %
Ko ukpata mkpo % labda 50 boom pia itapgwa kwa % 50 na hta pesa za field hvyo hvyo!.
 
Huko kwenye Batch ya kwanza naona Koo za kina Mwakyembe na Ndalichako zipo. Sasa ina maana hawa viongozi wameshindwa kujitolea kwa watoto wa koo zao hadi na wenyewe wapitie bodi?

Tufanyaje hii clip imfikie Mama Ndalichako maana atatumbuliwa hivi karibuni kwa kukosa Kodinesheni.
 
...sisi wengine tusubiri third batch huko .....hii first wapate kwanza watoto wa vigogo😎😎😎😎
 
Back
Top Bottom